Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)
Fadhili Manongi na Mkurugenzi Msaidizi wa Mamlaka ya Usafiri
wa Anga wa China (CAAC)Li Jian wapili kutoka (kulia) wakisaini mkataba
wa ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga , ambapo Ndege
zinazotengenezwa nchini China zitaruhusiwa kutua katika Anga ya
Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa jijinia Dar es Salaam,
utawawezesha Mamlaka hiyo hapa nchini kuweza kujenga kwa wataalam
kuweza kudhibiti Ubora wa Ndege hizo kutoka China. Kutoka Kushoto ni
Mwanashereia wa TCAA Vallery Chamulungu na Kulia ni Executive Vice
President of Aviation Industry Corporation of China (AVIC) Mr. Geng
Runguang.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)
Fadhili Manongi na Mkurugenzi Msaidizi wa Mamlaka ya Usafiri
wa Anga wa China (CAAC)Li Jian (kulia) wakikabidhiana hati za
mkataba wa ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga , ambapo Ndege
zinazotengenezwa nchini China zitaruhusiwa kutua katika Anga ya
Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa leo katika katika Makao makuu ya
ofisi hiyo jijinia Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)
Fadhili Manongi akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam
leo (hawapo pichani) juu mkataba wa ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa
Anga , ambapo Ndege zinazotengenezwa nchini China zitaruhusiwa kutua
katika Anga ya Tanzania. Pia Mkataba huo utawawezesha wataalam wa
TCAA uwezo wa kudhibiti Ubora wa Ndege hizo kutoka China. Kulia
ni Mkurugenzi Msaidizi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa China
(CAAC)Li Jian.
Mkurugenzi
Msaidizi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa China (CAAC)Li Jian,
akimabidhi zawadi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa
Anga Tanzania (TCAA) Fadhili Manongi wakati waliposaini mkataba wa
ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga , ambapo Ndege
zinazotengenezwa nchini China zitaruhusiwa kutua katika Anga ya
Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa katika Makao makuu ya ofisi
hiyo jijinia Dar es Salaam.
Baadhi
ya wajumbe Kutoka nchini China waliohudhuria hafla ya
utiliwaji mkataba wa ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga ,
ambapo Ndege zinazotengenezwa nchini China zitaruhusiwa kutua katika
Anga ya Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa jijinia Dar es Salaam,
utawawezesha wataalam wa TCAA kudhibiti Ubora wa Ndege hizo kutoka
China.
Viongozi
wa kuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) na Viongozi wa
Mamlaka ya Usafiri wa Anga China (CAAC) wakiwa katika Picha ya Pomoja
baada ya kusaini mkataba wa Ushirikiano wa maswala ya usafiri wa anga
ambapo ndege zinazotengenezwa nchini China zitaruhusiwa kutuoa katika
anga la Tanzania
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment