Home » » HERI YA KUZALIWA BLOGGER OTHMAN MICHUZI WA MTAA KWA MTAA BLOG

HERI YA KUZALIWA BLOGGER OTHMAN MICHUZI WA MTAA KWA MTAA BLOG

Anaitwa Othman Michuzi ambaye ni Mmiliki wa mtandao wa Mtaa kwa mtaa Blog na pia yupo Michuzi Media Group, Leo anakumbuka siku yake ya kuzaliwa, Timu Nzima ya Tone Multimedia Group pamoja na wasomaji wote tunakutakia Maisha mema pamoja na afya Njema , Endelea kuchapa kazi kwa Bidii.

Kutembelea Mtandao wake bofya hapa chini

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa