Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mkamiti Mgawe akiwa anaendelea na Baadhi ya michezo na baadhi ya wanafunzi wa shule Mbalimbali ambao wamefika katika sherehe hizo zinazoendelea katika Uwanja wa Chuo Kikuu
Baadhi ya wanafunzi wakiwa wanaendelea na michezo mbalimbali walati wa sherehe hizo
Wanafunzi Mbalimbali wakifuatilia Sherehe hizo
Hawa na wanafunzi wenye ulemavu wa aina mbalimbali wakiwa wanafuatilia kwa umakini sherehe hizi
Mmoja ya walemavu akiwa amekonga nyoyo za wengi baada ya kuporomosha burudani ya nguvu
Endelea kufuatilia hapa...
Picha na Dar es salaam Yetu
0 comments:
Post a Comment