Chama cha Wanawake
katika Fani ya Wafamasia (TAWOPHA) kinapenda kuwatakia wanawake wote Tanzania
na Duniani kote sikukuu njema ya wanawake. Wanawake tunaweza kama tukifanya kazi
kwa bidii na kupeana mawazo chanya ili kujiletea maendeleo.
“Chochea
Mabadiliko Kuleta Usawa wa Kijinsia”.
0 comments:
Post a Comment