Home » » TAWOPHA wanawake day

TAWOPHA wanawake day

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Chama cha Wanawake katika Fani ya Wafamasia (TAWOPHA) kinapenda kuwatakia wanawake wote Tanzania na Duniani kote sikukuu njema ya wanawake. Wanawake tunaweza kama tukifanya kazi kwa bidii na kupeana  mawazo chanya  ili kujiletea maendeleo.

“Chochea Mabadiliko Kuleta Usawa wa Kijinsia”.

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa