Home » » WANAWAKE WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE DUNIANI KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.

WANAWAKE WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAUNGANA NA WANAWAKE WENGINE DUNIANI KUADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Wanawake wanaowakilisha Wizara ya Maliasili na Utalii wakipita mbele ya mgeni rasmi katika uwanja wa Mwembe-yanga.
 Bibi aliyefurahia maandamano ya wanawake wenzake na kujiunga nao kusheherekea siku ya wanawake duniani.
 Baadhi wa wanawake wa wizara ya maliasili na utalii wakijiandaa kujiunga kwenye maandamano nje ya uwanja wa Mwembe - yanga 
  Wanawake wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakiserebuka wakati wa maandamano kuelekea uwanja wa Mwembe-yanga

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa