Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » MAZISHI YA MWIMBAJI DEBORAH SAID

MAZISHI YA MWIMBAJI DEBORAH SAID

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Jeneza likishushwa kaburini.



 
Waimbaji wakiwa wamebeba jeneza la mwimbaji mwenzao Deborah John Said.

 
Kaburi la Deborah.


 
Watoto wa marehemu wakiweka shada kaburini.
 

Picha ya marehemu.

 
Nyumbani kwa marehemu.  
Baadhi ya ndugu na jamaa wakilia na kuomboleza.  
Familia ya marehemu Deborah Said wakiwa na majonzi. Bango la kanisa alilokuwa akiongoza Mchungaji Deborah Said na mumewe Askofu John 
Said. Mmoja wa waombolezaji, Cosmas Chidumule,  akiimba kanisani.  
Jeneza likiwa kanisani kwa ajili ya ibada. Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Nchi ya Ahadi, Harris Kapiga, akiwa kanisani kwa ajili ya msiba huo. Rafiki mkubwa wa marehemu, Mama Wilbroad Slaa (kushoto) akilia kwa uchungu.  Kulia ni mume wa marehemu. Baadhi ya waimbaji na wasanii wakisalimiana. Mwimbaji Upendo Nkone akishiriki ibada ya mwimbaji mwenzake. Mtoto wa marehemu akiwa kazimia.  
Binti pekee wa marehemu akiwa kapumzika baada ya kuzimia.  
Umati wa watu ulifurika makaburini.

MWIMBAJI wa Injili, Deborah John Said, aliyefariki Juni 19 mwaka huu kwa tatizo la kansa, alizikwa jana, Juni 23, kwenye makaburi ya  Makuburi-Jeshini jijini Dar es Salaam ambapo waombolezaji wengi walihudhuria mazishi hayo.Marehemu ameacha mume na watoto wanne.

(Na Gabriel Ng’osha/GPL)

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa