Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Wananchi wakipita kwenye dimbwi la maji maeneo ya Posta Mpya
Kijana akipita kwenye dimbwi hilo huku akisukuma tolori lake lenye madumu.
Maji yakiwa yameeneo katikaeneo hilo karibu na kituo cha kuuzia mafuta .
Kijana akipita kwenye dimbwi hilo mbele ya maegesho ya Tax katika eneo hilo.
Mwendesha baiskeli ya magurudumu matatu akipita eneo hilo.
Wananchi wakipita kwenye dimbwi la maji maeneo ya Posta Mpya jijini Dar es Salaam leo asubuhi baada ya kujaa maji.
Eneo
hilo ambalo lipo mkabala na Benki ya Posta kwa muda mrefu zimekuwa
likijaa maji kutokana na mitaro ya Barabara ya Azikiwe kuziba lakini
wahusika ambao ni Halmashauri ya Manispaa Ilala inaonesha wameshindwa
kulimaliza hivyo kuleta usumbufu kwa watu wanatumia barabara hiyo pamoja
na magari. (Picha na mtandao wa habari za jamii.com-simu namba
0712-727062)
0 comments:
Post a Comment