Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
1. Meneja Mawasiliano wa Mamlaka
ya mawasiliano Tanzania (TCRA) Innocent Mungy (Kulia) akiongea na wadau
wa Sanaa (hawako pichani) wakati akiwasilisha mada kuhusu matumizi
sahihi ya mitandao ya kijamii kwa wasanii kwenye Jukwaa la Sanaa
lililofanyika Jumanne ya wiki hii makao makuu ya Baraza la Sanaa la
Taifa (BASATA) Ilala, Sharif Shamba. Kushoto ni Mwanasheria wa BASATA
Deogratius Nchimbi.
2. Mwanasheria wa Baraza la Sanaa
la Taifa (BASATA) Deogratius Nchimbi (Kushoto) akiongea jambo na wadau
wa Sanaa (hawako pichani) mapema wiki hii wakati akihitimisha mjadala
kuhusu matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa wasanii uliowasilishwa
na Meneja Mawasiliano wa mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kupitia
programu ya Jukwaa la Sanaa ya Baraza hilo kwenye Ukumbi wa BASATA
ulioko Ilala, Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
3. Mmoja wa wadau wa Jukwaa la
Sanaa akiuliza swali kwa Meneja mawasiliano wa TCRA juu ya athari za
sheria mpya ya mitandao ya kijamii kwa wasanii na waandishi wa habari.
3. Mmoja wa wadau wa Jukwaa la
Sanaa akiuliza swali kwa Meneja mawasiliano wa TCRA juu ya athari za
sheria mpya ya mitandao ya kijamii kwa wasanii na waandishi wa habari.
Sehemu ya wadau wa Sanaa waliohudhuria programu ya Jukwaa la Sanaa ya Baraza la Sanaa la Taifa mapema wiki hii.
0 comments:
Post a Comment