Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Zikiwa
zimebakia siku chache tu kuisha kwa siku zilizotengwa na Serikali kwa
wananchi kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura kwa mfumo
wa BVR katika Jiji la Dar es salaam.
Mwandikishaji
Msaidizi Bi. Maida Ally Yusufu akimsainisha Jaji Mutungi fomu ambazo
zimebeba taarifa zake kwa ajili ya kujiandikisha Leo katika kituo cha
Shule ya Msingi Bunge Jijini Dar es salaam.
Alama
za vidole zikichukuliwa na Mwandikishaji Bw. Ernest Moses Selelya mara
baada ya kukamilisha taratibu za ujazaji wa fomu ya utambulisho.
Jaji Mutungi akipiga picha kwa ajili ya kitambulisho.
Mhe.Jaji Francis Mutungi akipokea kitambulisho cha mpiga kura kutoka kwa Mwandikishaji Bw.Ernest Moses Selelya.
Mhe.
Jaji Francis S.K. Mutungi akiwa na kitambulisho chake mara baada ya
kujiandikisha mapema leo katika kituo cha Shule ya Msingi Bunge Jijini
Dar es salaam.
0 comments:
Post a Comment