Home » » MASABURI ASEMA CHAGUA DOUBLE M‏

MASABURI ASEMA CHAGUA DOUBLE M‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Gari maalum la kampeni za mgombe Ubunge wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Didas Masaburi likipita eneo la Manzese kuhamasisha wananchi kushiriki mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM, Jangwani juzi.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dk Didas Masaburi akiwapungia mikono wapiga kura wa jimbo lake wakati alipoongoza msafara wa wanaCCM wa jimbo hilo kuelekea viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam kumsikiliza mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli juzi.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dk Didas Masaburi akiwapungia mikono wapiga kura wa jimbo lake wakati alipoongoza msafara wa wanaCCM wa jimbo hilo kuelekea viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam kumsikiliza mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli juzi.Source: Father Kidevu Blog
 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dk Didas Masaburi (katikati) akisalimiana na mgombea ubunge wa chama hicho katika Jimbo la Sengerema, William Ngeleja. Kulia ni Mbunge wa Afrika Mashariki, Shyrose Bhanji, wakati wa mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM Jangwani, Dar es Salaam juzi.

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa