Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Baadhi
ya Maafisa Waandamizi, Wakaguzi, Wakaguzi Wasaidizi, Stesheni Sajini,
Sajini na Koplo wa Vikosi vya Majeshi ya Ulinzi na Usalama wakifuatilia
masuala mbalimbali wakati hafla ya utoaji wa nishani ya utumishi
uliotukuka Tanzania, nishati ya utumishi wa muda mrefu na nishani ya
utumishi wa muda mrefu na tabia iliyofanyika jana (Jumanne Septemba 1,
2015) Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Katiba na Sheria, Mhe. Asha-Rose Migiro (kulia) akifuatilia masuala
mbalimbali wakati hafla ya utoaji wa nishani ya utumishi uliotukuka
Tanzania, nishati ya utumishi wa muda mrefu na nishani ya utumishi wa
muda mrefu na tabia iliyofanyika jana (Jumanne Septemba 1, 2015) Ikulu
Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Maimuna
Tarishi.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante
Ole Gabriel (kulia) akifuatilia masuala mbalimbali wakati hafla ya
utoaji wa nishani ya utumishi uliotukuka Tanzania, nishati ya utumishi
wa muda mrefu na nishani ya utumishi wa muda mrefu na tabia iliyofanyika
jana (Jumanne Septemba 1, 2015) Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Mkuu
wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania, Jenerali Adolf
Mwamunyange (kushoto), Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Ernest
Mangu na Kamishna Jerenali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Minja
wakisoma ratiba ya hafla ya utoaji wa nishani ya utumishi uliotukuka
Tanzania, nishati ya utumishi wa muda mrefu na nishani ya utumishi wa
muda mrefu na tabia iliyofanyika jana (Jumanne Septemba 1, 2015) Ikulu
Jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein na Waziri Mkuu msaafu Joseph
Warioba wakisoma ratiba ya hafla ya utoaji wa nishani ya utumishi
uliotukuka Tanzania, nishati ya utumishi wa muda mrefu na nishani ya
utumishi wa muda mrefu na tabia iliyofanyika jana (Jumanne Septemba 1,
2015) Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Rais
Dkt. Jakaya Kikwete akimtunuku ACP Vincent Mosses Karata nishani ya
utumishi wa muda mrefu Tanzania katika hafla iliyofanyika ikulu Jijini
Dar Es Salaam jana( Jumanne Septemba 1, 2015).
Amiri
Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Rais Dkt. Jakaya Kikwete
akimtunuku Brigedia Jenerali Jacob Gideon Kingu nishani ya utumishi
uliotukuka Tanzania katika hafla iliyofanyika ikulu Jijini Dar Es Salaam
jana( Jumanne Septemba 1, 2015).
Amiri
Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Rais Dkt. Jakaya Kikwete
akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa majeshi ya vikosi vya Ulinzi na
Usalama mara baada ya hafla ya utoaji wa nishani kwa Maafisa
Waandamizi, Wakaguzi, Wakaguzi Wasaidizi, Stesheni Sajini, Sajini na
Koplo wa Vikosi vya Majeshi ya Ulinzi na Usalama wakati wa hafla ya
utoaji wa nishani ya utumishi uliotukuka Tanzania, nishati ya utumishi
wa muda mrefu na nishani ya utumishi wa muda mrefu na tabia iliyofanyika
jana (Jumanne Septemba 1, 2015) Ikulu Jijini Dar es Salaam.
1 Amiri
Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Rais Dkt. Jakaya Kikwete
akimtunuku ACP Bakari Namkaa Ndembo nishani ya utumishi mrefu Tanzania
katika hafla iliyofanyika jana jumanne (Septemba 1, 2015) Ikulu Jijini
Dar es Salaam.
(PICHA NA ISMAIL NGAYONGA- MAELEZO)
0 comments:
Post a Comment