Home » » BEN POL NA CHEGE WATEMBELEA WATOTO WENYE MATATIZO YA KUPINDA MIGUU KATIKA HOSPITAL YA CCBRT

BEN POL NA CHEGE WATEMBELEA WATOTO WENYE MATATIZO YA KUPINDA MIGUU KATIKA HOSPITAL YA CCBRT

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, ‘Chege Chigunda’ na Ben Pol wakishuhudia Daktari wa Watoto, Prosper Alute akimhudumia mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja katika hospitali ya CCBRT, mtoto huyo alizaliwa na maradhi ya kupinda miguu ambayo yanatibika. Matibabu hayo hufadhiliwa na kampuni ya simu za mkononi ya Tigo.
Benpol akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kuwaona watoto wenye matatizo ya kupinda miguu wanaofadhiliwa na Tigo kwa matibabu yao katika Hospital ya CCBRT pembeni yake ni Chege Chigunda



Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, ‘Chege Chigunda’ na Ben Pol wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Tigo na Hospital ya CCBRT mara baada ya kuwaona watoto wenye matatizo ya kupinda miguu wanaofadhiliwa na Tigo 

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa