Wadau mbalimbali pamoja na wanachama wa UWABA wakipita Mtaa wa Ohio Jijini Dar es salaam kuelekea Mnazi mmoja ambapo ndipo eneo ambalo walifanyia hafla fupi ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani
Wakipita Mtaa wa Lumumba kuelekea Mnazi mmoja ambapo ndipo walifanya Hafla fupi ya maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani
Mwenyekiti wa UWABA Mejah Mbuya akitoa neno la Shukurani kwa wote walioshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani kwa kuzunguka na Baiskeri zao maeneo mbalimbali Jijini Dar kwa lengo la kufikisha ujumbe wa utunzaji Bora wa Mazingira, pia alisisitiza swala la kuwepo kwa barabara za wapanda Baiskeri
Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) Nchini,Roeland Van de Geer akitoa neno la kuwapongeza wote waliofanikisha kuadhimisha siku ya Mazingira Duniani kwa kutoa ujumbe wa kutunza mazingira kwa kupitia kuendesha Baiskeri.
Baadhi ya zawadi ambazo walipata washiriki wa kuendesha Baiskeri
Walioshiriki katika siku ya Mazingira Duniani kwa Kuendesha Baiskeri wakiwa katika Hafla fupi ya Maadhimisho hayo Mnazi mmoja leo.
Picha na Fredy Njeje/Blogs za Mikoa
0 comments:
Post a Comment