Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » Sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 55 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 55 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Mgeni Rasmi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizindua kitabu kiitwacho “From Limumba Street to the Hill and Beyond” wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya Miaka 55 tangu Chuo hicho kianzishwe, sherehe hizo zimefanyika katika ukumbi wa Nkrumah, Kampasi ya Mwalimu J. K. Nyerere (Mlimani) mapema hii leo.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa