Naibu
Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia
J. Wambura (katikati) akiongea na Waandishi wa habari huku
akiwasisitiza Vijana kuiga mfano bora aliofanya Mrembo aliyeshika nafasi
ya pili katika Tuzo za Urithi wa Asili wa Mabinti wenye Umri chini ya
Miaka 20 wa mwaka 2016 Cecilia Godfrey (kulia) leo 16 Januari, 2017
Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya
Sanaa katika Wizara hiyo Bibi. Leah Kihimbi.
Mrembo
wa aliyeshika nafasi ya pili katika Tuzo za Urithi wa Asili wa Mabinti
wenye Umri chini ya Miaka 20 wa mwaka 2016 Cecilia Godfrey (kulia)
akiwaeleza Waandishi wa Habari (hawapo pichani) baadhi ya changamoto
alizopitia wakati wa mashindano hayo yaliyofanyika nchini Srilanka.
Aliyekaa katikati ni Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa
na Michezo. Mhe. Anastazia J. Wambura na Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi
Idara ya Maendeleo ya Sanaa katika Wizara hiyo Bibi. Leah Kihimbi, 16
Januari, 2017 Jijini Dar es Salaam.
Mrembo
wa aliyeshika nafasi ya pili katika Tuzo za Urithi wa Asili wa Mabinti
wenye Umri chini ya Miaka 20 wa mwaka 2016 Cecilia Godfrey (kulia)
akiwaonyesha Waandishi wa Habari (hawapo pichani) baadhi ya zawadi
mbalimbali alizopata wakati wa mashindano hayo yaliyofanyika nchini
Srilanka. Aliyekaa katikati ni Naibu Waziri wa Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia J. Wambura na Kushoto ni
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Sanaa katika Wizara hiyo Bibi.
Leah Kihimbi, 16 Januari, 2017 Jijini Dar es Salaam.
Naibu
Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia
J. Wambura (kushoto) akipokea Bendera ya Taifa toka kwa Mrembo
aliyeshika nafasi ya pili katika Tuzo za Urithi wa Asili wa Mabinti
wenye Umri chini ya Miaka 20 wa mwaka 2016 Cecilia Godfrey (kulia) 16
Januari, 2017 Jijini Dar es Salaam.
Naibu
Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia
J. Wambura (kushoto) akimpongeza Mrembo aliyeshika nafasi ya pili
katika Tuzo za Urithi wa Asili wa Mabinti wenye Umri chini ya Miaka 20
wa mwaka 2016 Cecilia Godfrey baada ya kupokea bendera ya Taifa toka
kwake leo 16 Januari, 2017 Jijini Dar es Salaam.
Naibu
Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia
J. Wambura (wa tatu kushoto)akiwa katika picha ya pamoja Mrimbwende
aliyeshika nafasi ya pili katika Tuzo za Urithi wa Asili wa Mabinti
wenye Umri chini ya Miaka 20 wa mwaka 2016 Cecilia Godfrey(katikati)
baada ya kupokea bendera ya Taifa toka kwake leo 16 Januari, 2017 Jijini
Dar es Salaam.
Naibu
Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia
J. Wambura (kushoto) akiongea na Waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa
jamii kusoma vitabu vinavyoandikwa na waandishi mbalimbali hususan rika
la Vijana ili wapate kuelimika. Kulia ni Mwandishi Chipukizi wa Vitabu
Bi. Rachel Maleza.
Mwandishi
Chipukizi wa Vitabu Bi. Rachel Maleza (kulia) akiongea na Waandishi wa
habari kuhusu dhamira yake ya kuandika kitabu kwa ajili ya lengo la
kuelimisha jamii hasa Vijana. Kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara ya
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia J. Wambura.
Naibu
Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia
J. Wambura (wa pili kushoto) akizindua Kitabu cha “Utamu wa Chungwa Sio
Rangiye” kilichotungwa na kuandikwa na Mwandishi Chipukizi wa Vitabu
Bi. Rachel Maleza (wa pili kulia). Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya
Maendeleo ya Sanaa katika Wizara hiyo Bibi. Leah Kihimbi na Kulia ni
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Lugha Bibi. Shani Kitogo.
Naibu
Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia
J. Wambura (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mwandishi
Chipukizi wa Vitabu Bi. Rachel Maleza (wa pili kulia) mara baada ya
kuzindua kitabu cha "Utamu wa Chungwa si rangiye" leo 16 Januari, 2017.
(Picha zote na Benedict Liwenga-WHUSM)
0 comments:
Post a Comment