Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Mungano wa Visiwa vya
Comoro Mhe. Azali Assoumani walipokutana kwenye ndege katika uwanja wa
ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumamosi
Januari 28, 2017 tayari kwa safari ya Addis Ababa, Ethiopia, kuhudhuria
Mkutano wa Kilele wa 28 wa Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika (AU). Rais
Assoumani alikuwa akitokea Comoro kupitia Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu
Hassan atika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar
es salaam leo Jumamosi Januari 28, 2017 wakati akielekea kupanda ndege
kuelekea Addis Ababa, Ethiopia, kuhudhuria Mkutano wa Kilele wa 28 wa
Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika (AU).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es
salaam leo Jumamosi Januari 28, 2017 wakati akielekea kupanda ndege
kuelekea Addis Ababa, Ethiopia, kuhudhuria Mkutano wa Kilele wa 28 wa
Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika (AU).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wakuu wa vikosi vya
ulinzi na usalama katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius
Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumamosi Januari 28, 2017 wakati
akielekea kupanda ndege kuelekea Addis Ababa, Ethiopia, kuhudhuria
Mkutano wa Kilele wa 28 wa Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika (AU).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Comoro nchini Dk.Ahamada El Badaoui Mohamed
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es
salaam leo Jumamosi Januari 28, 2017 wakati akielekea kupanda ndege
kuelekea Addis Ababa, Ethiopia, kuhudhuria Mkutano wa Kilele wa 28 wa
Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika (AU).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wafanyakazi katika
uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo
Jumamosi Januari 28, 2017 wakati akielekea kupanda ndege kuelekea
Addis Ababa, Ethiopia, kuhudhuria Mkutano wa Kilele wa 28 wa Wakuu wa
nchi za Umoja wa Afrika (AU).
PICHA NA IKULU
0 comments:
Post a Comment