Waziri
wa Mambo ya Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati)
akimsikiliza mmoja wa wataalam walioambatana na Balozi wa Norway nchini
Tanzania Mhe. Hanne Marie Kaarstad (wa tatun kulia) walipomtembelea ofisini
kwake leo
Katibu
Mkuu Wizara ya Mambo ya Katiba na Sheria Prof. sifuni Mchome (wa pili kulia)
akifafanua jambo wakati wa kikao na Balozi wa Norway na ujumbe wake (hawapo
pichani) walipotembelea Wizara hiyo leo ili kujadili namna wataalam hao
wanavyoweza kusaidia kiteknolojia katika kurahisisha upatikanaji wa haki kwa
wananchi.
Waziri wa
Mambo ya Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akiagana na Balozi
wa Norway nchini Tanzania Mhe. Hanne Marie Kaarstad na ujumbe wake baada ya kumaliza
kikao leo jijini Dar es salaam.
0 comments:
Post a Comment