Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » ANNA ABDALLAH APONGEZWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WADHAMINI YA TGGA

ANNA ABDALLAH APONGEZWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WADHAMINI YA TGGA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wadhamini ya Tanzania Girl Guids Association (TGGA), Anna Abdallah (kushoto), akipongezwa na Kamishna  Mkuu wa TGGA,  Symphorosa Hangi  (kulia) na Mwenyekiti wa Taifa wa TGGA, Profesa Martha Qorro baada ya kuchaguliwa Dar es Salaam jana. (PICHA ZOTE NA  NA RICHARD MWAIKENDAKAMANDA WA MATUKIO BLOG)
 Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wadhamini ya Tanzania Girl Guids Association (TGGA), Anna Abdallah (kushoto),Kamishna  Mkuu wa TGGA,  Symphorosa Hangi  (kulia) na  Mwenyekiti wa Taifa wa TGGA, Profesa Martha Qorro  wakipiga makofi wakati wa mkutano huo wa kumtambulisha Anna. 
 Mwenyekiti mpya wa Bodi ya  Wadhamini ya Tanzania Girl Guids Association (TGGA), Anna Abdallah (kushoto), akipongezwa na Mjumbe wa Bodi hiyo, Zakia Meghji.
 Katibu wa Taifa wa TGGA, Grace Shaba (kulia) akimpongeza Anna Abdallah
 Mary akimpongeza Anna Abdallah
 Wakiwa na furaha kutoka kushoto ni Grace Makenya, Anna Abdalah, Profesa Martha Qorro na Hangi






 Baadhi ya Girl Guids wakiwa katika picha ya pamoja

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa