.Balozi
wa India nchini Mhe.Sandeep Arya akizungumza katika mkutano wa wadau
mbalimbali wa masuala ya dawa ya kulevya leo jijini Dar es Salaam.
.Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Hiiti Sillo akizungumza
katika mkutano wa wadau mbalimbali wa masuala ya dawa ya kulevya leo
jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
wa Uhakiki Ubora wa Hunduma za Afya wa Wizara ya Afya Dk Mohammed Ally
Mohammed akizungumza katika mkutano wa wadau mbalimbali wa masuala ya
madawa ya kulevya leo jijini Dar es Salaam.
Rais
TCCIA, Bw Ndibalema Mayanja akizungumza katika mkutano wa wadau
mbalimbali wa masuala ya dawa ya kulevya leo jijini Dar es Salaam.
Mkutano ukiendelea Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
CHANZO MICHUZI MEDIA GROUP
0 comments:
Post a Comment