Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » UPTADES MSIBA WA PROFESSOR HENSLAY WILLIAM KABISAMA

UPTADES MSIBA WA PROFESSOR HENSLAY WILLIAM KABISAMA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399


Tunapenda kutoa taarifa kwa Ndugu, Jamaa, Marafiki, Familia na wote  tuliopatwa na msiba huu wa marehemu Professor  Henslay William Kabisama uliyotokea huko Ontario, California, Marekani. 

Mwili wa mpendwa wetu Prof Henslay Kabisama utawasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Ijumaa Julai 21, 2017 saa tisa mchana. Tunaombeleza nyumbani kwa marehemu Ursino  Victoria nyuma ya Ofisi za Halotel.  
Mazishi yatafanyika kesho Jumamosi Julai 22, 2017 yakitanguliwa na Ibada ambayo itafanyika  katika kanisa la   St Alban Upanga saa saba kamili mchana. Baada ya hapo tutaelekea  makaburi ya Kinondoni kwa mazishi. 

Bwana alitoa na bwana ametwaa
Jina la Bwana libarikiwe
AMEN.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa