Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Waziri
wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wa
kwanza kushoto akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mpango wa mfumo wa
matumizi ya kielektroniki katika sekta ya afya uliofanyika jijini Dar es
salaam katikati ni Mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda gates
foundation,bilionea Bill Gates na kulia ni Waziri wa TAMISEMI
Simbachawene.
Waziri
wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wa
kwanza kushoto akimkabidhi zawadi Mwenyekiti mwenza wa Bill &
Melinda gates foundation,bilionea Bill Gates wakati wa uzinduzi wa
mpango wa mfumo wa matumizi ya kielektroniki katika sekta ya afya
uliofanyika jijini Dar es salaam.
Waziri
wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wa
kwanza kushoto akionyesha kitabu cha mpango wa mfumo wa matumizi ya
kielektroniki katika sekta ya afya uliofanyika jijini Dar es salaam
pamoja na Mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda gates
foundation,bilionea Bill Gates katikati na kulia ni Waziri wa TAMISEMI
Simba Chawene.
Mwenyekiti
mwenza wa Bill & Melinda gates foundation,bilionea Bill Gates
akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau wa sekta ya afya
hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa mpango wa mfumo wa matumizi ya
kielektroniki katika sekta ya afya uliofanyika jijini Dar es salaam.
Waziri
wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu
akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau wa sekta ya afya
hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa mpango wa mfumo wa matumizi ya
kielektroniki katika sekta ya afya unaosimamiwa na Taasisi ya Bilionea
Billgate Bill & Melinda Gates uliofanyika jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti
mwenza wa Bill & Melinda gates foundation,bilionea Bill Gates wa
kwanza kushoto akisaini kitabu cha wageni wakati alipokutana na Waziri
wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wa pili
kushoto katika ofisi ndogo ya wizara hiyo jijini Dar es salaam ili
kuzindua mpango wa mfumo wa matumizi ya kielektroniki katika sekta ya
afya.
Waziri
wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu
katikati waliokaa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wadau wa
afya wa kwanza kulia ni Mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda gates
foundation,bilionea Bill Gates na Katibu Mkuu Afya, Dkt. Mpoki
Ulisubisya kushoto katika ofisi ndogo ya wizara hiyo jijini Dar es
salaam ili kuzindua mpango wa mfumo wa matumizi ya kielektroniki katika
sekta ya afya.
Wadau
mbalimbali wa sekta ya afya wakimsikiliza kwa makini Waziri wa
Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu hayupo
pichani jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa mpango wa mfumo wa
matumizi ya kielektroniki katika sekta ya afya.
0 comments:
Post a Comment