Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » TAMASHA LA TIGO FIESTA KUFANYIKA JUMAMOSI JIJINI DAR

TAMASHA LA TIGO FIESTA KUFANYIKA JUMAMOSI JIJINI DAR

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Mkurugenzi wa Huduma za Masoko Tigo, William Mpinga(katikati) akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kutambulisha wasanii watakaopanda katika jukwaa la Tigo Fiesta siku ya jumamosi viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam leo mchana. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Tigo Fiesta, Sebastian Maganga na wengine ni wasanii.


Msanii Ben Pol akizungumza na waandishi wa Habari kwa niaba ya wasanii wa kiume


 Msanii Vanessa Mdee akizungumza na waandishi wa Habari kwa niaba ya wasanii wa kike


 Msanii Barnaba akiwa na wafanyakazi wa kampuni ya Tigo


Mdau akipata picha na msanii Vanessa


Wasanii Aslay na Rich Mavoko wakisalimiana jna wafanyakazi wa duka la Tigo Mlimani city walipotembelea duka hilo leo mchana


Msanii Barnaba akiwa na wafanyakazi wa kampuni ya Tigo


Mkurugenzi mkuu wa Tigo Tanzania Simon Karikari akisalimiana na msanii Vanessa Mdee

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa