Home » » Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan Akutana na Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Nchini Tanzania

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan Akutana na Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Nchini Tanzania

Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan
akizumgumza na Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Nchini Tanzania Bw
Greyson Lazaro Mlanga walipokwenda kumuona Ofisini kweke Mtaa wa Luthuli
Mjini Dar es Salaam
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan alipokuwa
na  Mazungumzo na Viongozi wa chama cha  walemavu wasiooma Nchini
Tanzania wakati walipomtembelea Ofisini Kwake Mtaa wa Luthuli Mjini Dar
es Salaam.Picha na Ali Meja

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa