Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » MATUKIO ZAIDI YA KWENYE MSIBA WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA SINZA VATICAN MH SITA,RIDHIWANI KIKWETE WAFIKA KUTOA MKONO WA POLE MUDA SI MREFU

MATUKIO ZAIDI YA KWENYE MSIBA WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA SINZA VATICAN MH SITA,RIDHIWANI KIKWETE WAFIKA KUTOA MKONO WA POLE MUDA SI MREFU



Moja ya Picha Kubwa ya Marehemu Kanumba ikiletwa tayari kwa kuwekwa mbele kabisa 
Waziri wa Afrika Mashariki Mh samwel Sitta alipokuwa akikaribishwa na Simon Simalenga ndani ya Nyumba ya Marehemu Steven Kanumba iliyopo sinza vatican ambapo msiba unaendelea
Mmoja ya Waigizaji Steve Nyerere akiongea na Waandishi Wa Habari Nyumbani Kwa Marehemu Steven Kanumba muda mfupi uliopita
Ridhiwani Kikwete alipokua akiwasili kwenye msiba wa Steven Kanumba nyumbani kwake sinza vatican
Mkuu wa Polisi Mkoa Akitoa Maelekezo kwa Vijana wake ili kuimarisha ulinzi katika msiba wa Kanumba Kutokana na Umati wa Watu Kuwa Wengi na pia aliagiza Barabara kufungwa 
Baadhi ya Waombolezaji wakiwa katika majonzi
Wakubwa kwa Wadogo Wakiwa wamening'inia Juu ya Ukuta wakifuatilia kwa makini msiba wa marehemu Steven Kanumba Nyumbani Kwake Sinza
Baadhi ya Wananchi wakiwa wamejaa nje ya geti la nyumba ya marehemu Steven Kanumba Sinza Vatican.
 Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu Steven Kanumba Sinza Vatican katika Msiba.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA BLOG YA LUKAZA

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa