Home » » MWENYEKITI WA SARPCCO NA IGP SAID MWEMA KATIKA HAFLA YA KUAGANA

MWENYEKITI WA SARPCCO NA IGP SAID MWEMA KATIKA HAFLA YA KUAGANA


Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini Said Mwema (kulia) na Mwenyekiti wa
Shirikisho la wakuu wa Polisi kusini mwa Afrika (SARPCCO) ambaye
pia ni Kamishna wa Polisi wa Nchi ya Afrika Kusini Nhlanhala
Mkhwanazi wakiteta jambo wakati wa hafla fupi ya kumuaga baada ya
kumaliza ziara yake ya siku mbili hapa nchini. (Picha na Frank
Geofray-Jeshi la Polisi)
Mwenyekiti
wa Wakuu wa Polisi Kusini mwa Afrika (SARPCCO) Nhlanhala Mkhwanazi
(Kushoto) na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Said Mwema wakitoka
katika ukumbi wa Hoteli ya Kempiski baada ya kumalizika kwa hafla
fupi ya kumuaga Mwenyekiti huyo baada ya kumaliza ziara yake ya
kikazi ya siku mbili hapa nchini.Kulia ni Kamishna wa Operesheni
Paul Chagonja (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi).
Mwenyekiti
wa Wakuu wa Polisi Kusini mwa Afrika (SARPCCO) Nhlanhala Mkhwanazi
(Kulia) akimkabidhi zawadi Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Said Mwema
wakati wa hafla fupi ya kumuaga mwenyekiti huyo baada ya kumaliza
ziara yake ya kikazi ya siku mbili hapa nchini.(Picha na Frank
Geofray-Jeshi la Polisi)

0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa