Vijana
walioachana na Matumizi ya dawa za kulevya kutoka katika kituo cha
Pilli Missanah Foundation kilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam
wakiwa katika picha ya pamoja na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu
jijini Dar es Salaam leo.Kulia pembeni ya Rais ni Mwanzilish Kituo hicho
Bi.Pilli Missanah na watatu kushoto ni mfadhili mkuu wa kituo hicho
Bwana Zacharia Hans Poppe
(Picha na Freddy Maro)
0 comments:
Post a Comment