Stoo
 ya kuhifadhia makasha ya DVD na CD katika ofisi ya GMC Wasanii 
Promotion iliyokiuwa katika jengo la GMC Heights Kamata jijini Dar es 
Salaam na kusababisha hasara ya mali na jengo.
 Jengo hilo la GMC linavyoonekana 
 Askari wa zimamoto akiangalia wenzake waliokuwa juu wakizima moto huo.
 Mkuu
 wa Mkoa wa Dar es Salaam alifika eneo la tukio na kuweza kuongea na 
wamiliki wa jengo hilo na mmiliki wa GMC Wasanii Promotion Zahri Shivji 
juu ya chanzo cha moto huo ambao walieleza bado kujulikana.
Magari ya zimamoto kutoka jiji, Airport na kampuni binafsi za ulinzi yalizima moto huo.
Chanzo: Father Kidevu Blog
Chanzo: Father Kidevu Blog





0 comments:
Post a Comment