TUNAOMBA RADHI KWA PICHA
Sehemu ya mifuko ya plastiki iliyokutwa na viungo hivyo ambavyo
inasemekana ni pamoja na mikono, miguu, ngozi na sehemu nyingine za
miili
Gari
likiwa limebeba mifuko yenye viuongo hivyo, ambapo Jeshi la Polisi
wilaya ya Kinondoni limesema kuwa limeanza uchunguzi wa kina baada ya
kukakamata viungo mbalimbali vinavyodhaniwa kuwa ni vya binadamu katika
mifuko ya plastiki katika machimbo ya kokoto sehemu za Mbweni Mpiji,
Magohe, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam.
Mmoja ya Kiungo Kinachodaiwa cha Mguu
Baadhi ya Mifuko ambamo kunadaiwa Maiti izo zilikuwa zimewekwa
Moja ya kichwa kinachodhaniwa cha Binadamu ambacho kimetolewa katika moja ya Mifuko hiyo
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment