Sikiliza Tone Radio Live Hapa, na Tembelea Website yetu www.toneradiotz.com
Home » » CHAKUA: Serikali Ianzishe Mfumo Mpya wa Ukataji Tiketi wa Mabasi ya Yaendayo Mikoani

CHAKUA: Serikali Ianzishe Mfumo Mpya wa Ukataji Tiketi wa Mabasi ya Yaendayo Mikoani

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 


Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Kutetea Abiria (CHAKUA) Hassan Mchanjama (katikati) akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani)  baadhi ya vitabu feki vya tiketi vilivyokamatwa, wakati wa mkutano na waandishi  hao leo, Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Afisa Miradi  wa Taifa wa Chama hicho na Kulia ni Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki na Katibu wa Marine Wilson Sylvester Damo.

Picha Na. Husna Saidi

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa