Home » » Rais Samia akutana na kuzungumza na viongozi pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA)

Rais Samia akutana na kuzungumza na viongozi pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA)




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

 Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye 

mazungumzo na viongozi pamoja na wajumbe wa 

 Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi 

Zanzibar (ZEEA) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Machi, 2025. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia
 Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na viongozi pamoja
 na wajumbe wa  Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji 
Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) Ikulu Jijini
 Dar es Salaam tarehe 26 Machi, 2025.


0 comments:

 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa