Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye
mazungumzo na viongozi pamoja na wajumbe wa
Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi
Zanzibar (ZEEA) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Machi, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia
Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na viongozi pamoja
na wajumbe wa Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji
Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) Ikulu Jijini
Dar es Salaam tarehe 26 Machi, 2025.
0 comments:
Post a Comment