
Katika kuelekea kilele cha Malkia wa Nguvu 2025 inayoratibiwa na Chombo cha Clouds.Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewafikia Malkia na Balkia katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa elimu, kuandikisha wanachama wapya waliojiajiri ili waweze kujiunga na kujiwekea akiba kwa kuchangia shilingi 30,000 au zaidi kwa kutoa kidogo kidogo kwa siku bukubuku, wiki, mwezi au msimu kulingana na kipato chake na hapo baadae wote watakuwa wanufaika ws mafao yote yanayotolewa na NSSF yakiwemo ya uzee, uzazi na matibabu.Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena kinachorushwa hewani na kituo cha redio cha Clouds Fm, Bw. Shabani...