MALKIA NA BALKIA WACHANGAMKIA FURSA YA KUJIWEKEA AKIBA NA NSSF

Katika kuelekea kilele cha Malkia wa Nguvu 2025 inayoratibiwa na Chombo cha Clouds.Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewafikia Malkia na Balkia katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa elimu, kuandikisha wanachama wapya waliojiajiri ili waweze kujiunga na kujiwekea akiba kwa kuchangia shilingi 30,000 au zaidi kwa kutoa kidogo kidogo kwa siku bukubuku, wiki, mwezi au msimu kulingana na kipato chake na hapo baadae wote watakuwa wanufaika ws mafao yote yanayotolewa na NSSF yakiwemo ya uzee, uzazi na matibabu.Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena kinachorushwa hewani na kituo cha redio cha Clouds Fm,  Bw. Shabani...

Rais Samia akutana na kuzungumza na viongozi pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na viongozi pamoja na wajumbe wa  Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Machi, 2025. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na viongozi pamoja na wajumbe wa  Bodi ya Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Machi, 20...

Rais Samia apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mhe. Félix Tshisekedi Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi hiyo Mhe. Thérèse Kayikwamba Wagner, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Machi, 20...

DAWASA YAPEWA SIKU 90 KUTATUA CHANGAMOTO YA MAZINGIRA FUKWE YA DENGU

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imepewa siku 90 kuhakikisha adha ya uchafuzi wa mazingira inayosababishwa na uunganishaji wa mifumo ya maji kiholela fukwe ya Dengu na Fukwe ya Barabara ya Obama jirani na Hospitali ya Aghakan jijini Dar es Salaam inatatuliwa.Agizo hilo limetolewa leo tarehe 26 Machi, 2024 na Naibu Katibu Mkuu ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Bi. Christina Mndeme alipokuwa akiongea na Waandishi wa Habari katika ziara yake iliyohudhuriwa pia na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) la kuhakikisha DAWASA wanajenga eneo la...

RAIS SAMIA ATENGUA UTEUZI WA DC MASASI! MOBHARE MATINYI APEWA UBALOZI SWEDEN

...

MKURUGENZI MKUU NSSF AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA UGANDA

MKURUGENZI MKUU NSSF AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA UGANDANa Mwandishi Wetu,Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba, tarehe 27 Januari 2025 amekutana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Robinah Nabbanja Jijini Dar es Salaam.Akizungumza mara baada ya kikao, Bw. Mshomba amesema Mhe. Robinah Nabbanja amefika nchini kwa lengo kuhudhuria Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika ambapo mbali na mkutano huo aliona ni vizuri kukutana na NSSF kwa lengo la kufahamu mambo kadhaa kuhusu utendaji wa Mfuko ikiwa pamoja na suala la ukuaji wa thamani ya Mfuko, uwekezaji, usajili wa wanachama wa sekta...

MENEJA NSSF KINONDONI AWATAKA WAJASIRIAMALI KUENDELEA KUJIUNGA NA KUJIWEKEA AKIBA ILI WAWEZE KUNUFAIKA NA MAFAO

Meneja wa NSSF Mkoa wa Kinondoni, Bw. Large Materu ametoa wito kwa wajasiriamali kuendelea kujiunga na kujiwekea akiba katika Mfuko ili waweze kunufaika na mafao yanayotolewa yakiwemo ya uzee, uzazi na matibabu.Alitoa wito huo wakati akiongoza utoaji wa elimu ya hifadhi ya jamii kwa viongozi wa masoko na baadaye  wafanyakazi wa NSSF waliweka kambi kwenye masoko ya Kawe na Tegeta Nyuki kwa ajili ya kutoa elimu ya hifadhi ya jamii, kuandikisha wanachama wapya, kuhamasisha uchangiaji ambapo hamasa ya wajasiriamali kupata elimu na kujiunga imekuwa kubwa. “Napenda kutoa wito kwa wajasiriamali wote wakiwemo mama lishe, bodaboda, wakulima,...

WAJASIRIAMALI SOKO LA TEGETA NYUKI WANUFAIKA NA ELIMU YA HIFADHI YA JAMII KUTOKA NSSF

Na MWANDISHI WETU,Dar es Saalam. Lengo la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kufikisha elimu ya hifadhi ya jamii kwa makundi mbalimbali ya wananchi linaendelea kwa kasi baada ya wajasiriamali katika soko ya Tegeta Nyuki, jijini Dar es Salaam, kuhamasika kujiwekea akiba baada ya kupata elimu kutoka NSSF ili waweze kunufaika na mafao.NSSF kupitia kwa Meneja wa Sekta isiyo rasmi, Bi. Rehema Chuma imeweka kambi ya siku nne katika soko la Tegeta Nyuki na Kawe, lengo likiwa ni kutoa elimu ya hifadhi ya jamii, kuandikisha wanachama wapya na kuhamasisha uchangiaji ambapo hamasa ya wajasiriamali kupata elimu na kujiunga imekuwa kubwa.Akizungumza...

TANZANIA NA UINGEREZA KUSHIRIKIANA KATIKA KUENDELEZA MADINI MKAKATI

▪️Waziri Mavunde ainisha Mkakati wa uongezaji thamani Madini▪️Taasisi za Jiolojia na Utafiti Madini za Tanzania na Uingereza kushirikiana▪️Watanzania kujengewa uwezo kukuza ujuzi📍Dar es SalaamSerikali ya Tanzania imeihakikishia Serikali ya Uingereza kuendeleza ushirikiano kwenye sekta ya madini hususani katika kujengea uwezo watu wake, kubadilishana uzoefu, uongezaji thamani madini na kuwekeza kwenye kufanya tafiti mbalimbali ili kukuza sekta ya madini na kupanua mnyororo wa thamani ili kuongeza ajira na kuchangia katika ukuaji wa pato la taifa.Hayo, yameelezwa Jana na Waziri wa Madini, Mh. Anthony Mavunde katika ofisi ndogo za Wizara ya Madini...

UCHUMI WA TANZANIA UNATARAJIWA KUKUA KWA ASILIMIA 5.7 KATIKA ROBO YA NNE YA MWAKA 2024

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TVUCHUMI wa Tanzania Bara na Zanzibar umeendelea kuwa imara kwa mwaka 2024 ambapo Uchumi wa Tanzania Bara ulikua kwa asilimia 5.4 katika nusu ya kwanza ya mwaka 2024, na unatarajiwa kukua kwa asilimia 5.6 katika robo ya tatu na asilimia 5.7 katika robo ya nne ya mwaka 2024.  Kwa kuzingatia mwenendo huo, ukuaji wa uchumi unatarajiwa kuwa sawia na matokeo ya ukuaji wa asilimia 5.4 kwa mwaka 2024.Hayo yameelezwa leo Januari 8, 2025 na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emmanuel Tutuba wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kikao cha robo mwaka cha Kamati ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania...
 
Supported byBlogs za Mikoa
Copyright © 2012. Dar es salaam Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa